iqna

IQNA

Sheikh Mohammad Ayub ibn Yusuf, msomaji na qarii wa Qur'ani Tukufu katika Al-Masjid an-Nabawi mjini Madina ameaga dunia leo Aprili 16 akiwa na umri wa miaka 65.
Habari ID: 3470249    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/16